"Sijawahi Ona" Versuri
„Sijawahi Ona” are versuri în swahili limbă.
Sensul „Sijawahi Ona” provine din swahili limbă și în prezent nu este convertit în traducere în engleză.
#SijawahiOna #WalterChilambo
Audio Produced by KITAH THE PRO
Mixing and Mastering by @walterchilambotz
Production by LOVE MUSIC BRAND
Video Directed by AIC (DirectedAic)
Color By XNIPER CG
Props By Ms Loveness
NEVER SEEN, SIJAWAHI ONA
It is a word that admits to being amazed by the great things that God does in our lives, it is a word of faith that shows acceptance of God's works and his power and strength, and how he loves us and gives us everything if only we believe in him and accept him and receive him as the Lord and Savior of our lives
.
AUDIOMACK -
SPOTIFY-
BOOMPLAY -
I'M BLESSED-
TWITER -
THREADS -
@walterchilambotz
INSTAGRAM -
FACEBOOK PAGE -
TIKTOK
@walterchilambo?_t=8k7FJO3k2nV&_r=1
SIJAWAHI ONA BOOMPLAY
.
.
LYRICS
VERSE 1
Sijaumbwa kwa bahati mbaya
Aah jamani napendwa
Hivi hivi nilivyo
Mungu ananipenda
Pamoja na madhaifu yangu
Lakini napendwa
Hivi hivi nilivyo
Mungu ananipenda
So ukinidharau,we nidharau tu
Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu
Na ukinicheka,we nicheke sana
Hizo kwa Mungu kelele tu
Hazinisumbui wala
HOOK
Mungu wangu halali
Mungu wangu hasinzii
Na akisema anakubariki
Hakuna wakuzuia
Mungu wangu hashindwi
Mungu wangu hapangiwi
Neno lake halijawahi kupita
Bila
ona
CHORUS
SIJAWAHI ONA aahh aahh (Mungu kama wewe aahh)
SIJAWAHI ONA aaah aah ( Mimi aah)
SIJAWAHI ONA aaah aahh (Upendo kama wako)
SIJAWAHI ONA aah aaah (Baba baba baba)
VERSE 2
Wewe umesema akutegemeaye
Haumuachi ng'o aah aaah
Akutegemeaye Haumuachi ng'o
Na tukiomba kwa bidii
Tena kwa kumaanisha
Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo
Nakosaje ujasiri ndani
Nimembeba mtu wa maana
Naanzaje ...naanzaje
Hatua moja huanzisha nyingine
Na nyingine ananipa mwenyewe
Naachaje ....naachaje
HOOK
Mungu wangu halali
Mungu wangu hasinzii
Na akisema anakubariki
Hakuna wakuzuia
Mungu wangu hashindwi
Mungu wangu hapangiwi
Neno lake halijawahi kupita
Bila
ona
CHORUS
SIJAWAHI ONA aahh aahh (Mungu kama wewe aahh)
SIJAWAHI ONA aaah aah ( Mimi aah)
SIJAWAHI ONA aaah aahh (Upendo kama wako)
SIJAWAHI ONA aah aaah (Baba baba baba)